fanya computer yako unapoiwasha iongee jina lako(saying your name)





naam ukiachana na njia ile ya kawaida unapoiwasha computer yako inaonesha jina lako  njii hii ninayoenda kuelekeza ni kuwa unapowasha computer yako inatamka jina lako 
naam  fata maelekezo haya  kiumakini zaidi


hatua a kwanza kabisa tafuta program iliyokatika computer yako inaitwa NOTEPAD

CLICK ON START nenda kwenye ALL PROGRAMS  kisha itafite NOTEPAD  utaipata  fungua kisha copy na upaste code hizi

"Dim speaks, speech speaks="Welcome to your PC, Username" Set speech=CreateObject("sapi.spvoice") speech.Speak speaks"


hizo alama za fungua semi na funga semi usiziweke nazo  nimeweka ili ujue manene yalio kati ya hizo semi ndio unaoaswa uyatumie 

  haya sasa ukimaliza SAVE  file hilo  angalia  hapo juu ya notepad yako kuna sehemu imeandikwa FILE bonyeza hapo kisha angalia neno lilioandikwa SAVE AS bonyeza hapo kisha andika    "Welcome.vbs" kisha save   kumbuka filr hilo umesave wapi  litafute uliposave hilo file kisha copy file hilo kisha fata hatua hizi tena

nenda kwenye LOCAL DISC(C) nitatumia alama hii ya ">" kama namna ya kufata file linalofuata  okay tunaanza





in WINDOW XP

LOCAL DISC(C)>Documents and Settings>All Users>Start Menu>Programs>Startup (in Windows XP)

(in Windows 7 and Windows Vista)
C:>Users> User-Name>AppData>Roaming>Microsoft>Windows>Start Menu>programs>Startup

ukifika jatika hatua ya mwishi apo katika file la start up fungua kisha paste lile file la mwanzo ulilicopy yaani la" welcome.vbs"
Play Custom Sound On Startup

hapo utakuwa umemalizaa kabisa  utakapo washa computer yako kwa maa yingine utasikiaa sauti ya jina lako ili uweze kukamilisha hatua zote unabidi uende kuhakiki  ili sauti zisiingiliane unachotakiwa kufanya nenda kwenye CONTROL PANEL hii unawezaa ipata kwa kubonyeza START UP  button kisha search control panel  utaionaa ifungue telemka chinimpaka uone  sehemu ilipoandikwa sounds wakati mwingine imeandikwa sounds and audio kisha fungua apo angalia kwa umakini apo  utaona kuna sehemu imeandikwa  SOUND SCHEME  angaliaa apo  kama chunu yake pameandikwa WINDOWS DEFAULT hakikisha umebadili umeweka  NO SOUNDS  ukimaliza save  kufikia hapo utakuwa umeshamaliza  

Comments