Fahamu namna ya kumjua aliekuibia account yako ya facebook na instagram,


Inawezekana kuna mtu ametenegeneza account kwa kutumia jina lako na kuanza kuitumia usipate shia sana kuna njiaa ya kumjuaa mtumiaji huyo wa facebook au instagram
Ili tuweze kumjua tunabidi tutumie >> netstat <<  coomand in windows kama unatakaa kujuaa IP address ya mtu fulani katika facebook au mtumiaji wa mtandao mingine hizi za kuchat kuna njia mja tu ya kumjuaa unachotakiwa kufanya unabidi umu invite au mtumie message ukimtumia mesaage usitoke inbox hakikishayupo online itakuwa rahisi zaidi  yote haya ufanye ukiwa katika compute yako   moja kwa mojaa nenda katika >> command prompt<< katika PC yako kisha fungua progam hiyo  
Image result for FACEBOOK AND INSTAGRAM HACKER
Kumbuka kablaa hujaendaa huko kwenye progam ya command prompt  hakikisha umefungua tab zote imebaki moja tu  ambayo niya facebook kaika sceenn yako ya pc yako hapo  mfano kama ulikuaa unatumiaa youtube na umefungua tab zingie labda za google unabidi uzifte ibaki moja tu ya facebook ikiwezekana zaidi fita history na caches za sites ulizokuwa unazifungua ibaki history moja ya facebook ya huyo unaechat (victim) naye  okay??

Ukishafunguaa coomand prompt  andika   command hii kishaa bonyeza ENTER …> netstat -an

Subiri kama sekunde kadhaa utaona ip address zote zilizounganishwa kwa muda huo kumbuka kama ulifata history zote ikabaki ya huyo unaechat naye utaiona kwa haraka ip address yake unachotakiwa kufanyaa  iandike pembeni  hatua iayofataa ni kum trace/fatiliaa mtumiaji wa ip address hiyo ili kuweza kufanyaa hivyo tunabidi tutumie website maalum kwa ajili ya kufatilia IP address za watumiaji  nendaa kwenye website hii hapa hakikisha unaweka weka ip addres uliyoicopy hapo juu  na itakuoneshaa eneo aliopo huyo mtumiaji wa ip address hiyo…

>>>>>>>>             <<<<<<<<<<<<<

Itakuonesha eneo lake alipo kwa muda huo pamoja na ramani ya eneo aliopo kama upo makini zaidi utaizoom picha hiyo  na kuanza kumfatilia alipo  kwa msaada zaidi namna ya kumpata na link hiyo  ya kuweza kutambua ip address yake huduma ni ndogo tu nitumie ujumbe huu inbox kwa whatsappa au telegram +255758010604 nitakutumia picha na ramani alipo
 Siatweka website hiyo na ticks zingine zaidi kutunza privacy za watu kama ukiitaji waweza nitafuta kwa namba hizo nikusaidie ni bure wala sio hela








































































Comments