TAHADHARI muhimu kwa watumiaji wa LAPTOP kuweni waangalifu


Image result for laptop users in bedImage result for laptop users in bed

wapenzi wawili walipoteza mtoto wao mwenye umri wa miaka 25 kwa ajali ya moto alipokua kwao  kijana huyu alikua anatarajia kuhitimu wa shahada ya pili ya biashara katika  chuo kikuu cha Wisconsin-Madison wiki mbili kabla ya ajali hiyo kijana huyo alirejea nyumbani kupumzika kwa masaa  kadhaa ili arejee chuo kufanya usafi katika chumba alichokuwa anakaa kama maandalizi ya kuhitimu chuo hapo ingawa hakumkuta mama yake muda huo nyumbani mzee wake alimuambia amsubiri mpaka atakaporejeaa kutoka kazini mida ya usiku kijana aliamua kwenda kupumzika katika chumba chake.....

. masaa kadhaa yalipita jirani aliekuwa karibu na nyumba hiyo aliona moshi mzito ukitoka katika moja ya chumba katika nyumba hiyo ndipo akaamua kutoa taarifaya dharula kwa kupiga simu 911

watoa huduma ya dharula walipofka katika uokoaji walikuta tayai kijana aliekuwa katika nyumba hiyo ameshakufa...  Askari walifanya uchunguzi takibani wiki mbili kubaini chanzo cha ajali hiyo ya moto walikuja kugundua kuwa kijana huyo alilala kitandani pamoja na laptop yake usingizi ulipompitia hakujua kilichoendeleaa FAN iliyondani atika laptop yenye kazi ya kuipooza ilikosa hewa ya kuipoza laptop hiyo ndipo iliposababisha moto kutokea ndani ya laptop hiyo kijana hakuweza kugundua kilichotokea kwa sababu alivuta hewa ya CARBONMONOXIDE iliyokuwa inatokandani ya laptop hiyo iliyokuwa inawaka moto
Image result for sleep with laptop

sababu iliyonifanya kuandika habari hii hapa nimesoma habari nyingi zikihusisha ajali za namna hii kwa watumiaji wa computer hasa laptop nawashauri wakubwa kwa wadogo familia marafiki  pia kaka na dada msitumie laptop mkiwa kitandani zikiwa zimegandamizwa na mashuka mazito,blanket na pilo  jizoeshe kutotumia laptop katika hali itakayosababisha laptop kukosa hewa ya kuipoza

Comments